• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI GEITA YAPONGEZA KAMPUNI YA GGM GEITA KWA KUCHANGIA VIFAA VYA UJENZI VYENYE THAMANI YA MILIONI 69 GEREZA LA WILAYA GEITA

Posted on: June 5th, 2017

SERIKALI YAPONGEZA GEITA GOLD MINE KUCHANGIA VIFAA VYA UJENZI VYENYE THAMANI YA MILIONI 69 UPANUZI WA GEREZA GEITA

Serikali ya Mkoa wa Geita imeipongeza kampuni ya Uchimbaji wa madini Geita (GGML) kwa kuunga mkono juhudi za serikali za kuboresha na kimarisha miundombinu ya Gereza la Wilaya ya Geita Mkoani humu kwa kuchangia vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 69.

Akizungumza katika hafla fupi ya kukabidhi vifaa hivyo Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga amesema kuwa serikali inajitahidi kuhakikisha inajenga miundombinu muhimu katika Gereza la Wilaya ya Geita ili kupunguza msongamano mkubwa uliopo kwa kujenga mabweni mengine ambayo yatatosheleza mahitaji.  Hivyo ameipongeza kampuni ya GGML kwa kuunga mkono juhudi hizo na kuwataka wadau wengine wa Mkoa wa Geita kuiga mfao huo kwa kujitolea kuchangia katika masuala mbalimbali ya maendeleo mkoani humu.

Awali akimkaribisha Mkuu wa Mkoa ASP Elly Maiga kaimu Mkuu wa Gereza amesema kuwa gereza la Geita lina uwezo wakuhifadhi wafungwa 197 lakini kuna kipindi linakuwa na wafungwa hadi 600 ambao wanatokana na kufanya uharifu wa aina tofauti hasa mauaji, uvuvi haramu n.k. Kutokana na hali hiyo serikali imeamua kupanua gereza hilo kwa kujenga mabweni mapya pamoja na miundombinu ya maji na vyoo ili kuepuka mlipuko wa magonjwa. Vifaa vilivyotolewa na GGM ni pamoja na Simenti, tofali, misumali, mabomba, nondo, n.k, Gereza la Wilaya ya Geita lilijengwa 1947

Mkuu wa Mkoa amewataka wananchi kubadili tabia kwa kuacha kutenda vitendo vya uharifu ambavyo vinasababisha wengi wao kuishia katika magereza.  Aidha amesema serikali imekwisha tafuta eneo la ekari 500 huko Nyamgogwa Wilaya ya Nyang’hwale kwa ajili ya shughuli za magereza ikiwemo ujenzi wa Gereza la mkoa kilichobaki ni wahusika kuanza utekelezaji.

Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa