• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Serikali Kuanza Msako Kuwabaini Wanaowaachisha Wanafunzi Shule

Posted on: October 23rd, 2023

Na Abraham Mwasimali –RS Geita

Wakuu wa wilaya pamoja na wakurugenzi wa halmashauri zote katika mkoa wa Geita wameagizwa kufanya msako wa watu ambao ni chanzo cha wanafunzi kukatisha masomo yao.

Agizo hilo limetolewa na mwakilishi wa mkuu wa mkoa Geita ambaye ni mkuu wa wilaya ya Geita mhe.Cornel Magembe wakati wa kilele cha maaadhimisho ya juma ya elimu ya watu wazima lililofanyika Oktoba 18, 2023 katika viwanja vya shule ya msingi ludete, mamlaka ya mji mdogo wa katoro.

‘’niwaagize wakuu wa wilaya pamoja na wakurungenzi wa halmashauri, mfanye msako wa kuwabaini watu ambao ni chanzo cha wanafunzi kuacha shule pamoja na wananchi wasiotoa ushirikiano kuhusu elimu ya watu wazima na watakao bainika wachukuliwe hatua za kisheria”’, alisema DC Magembe.


Kwa upande wake afisa elimu wa mkoa wa Geita bw.Anton Mtweve elisema elimu ya watu wazima na elimu nje ya mfumo rasmi imewasaidia wanafunzi kujua kusoma,kuandika na kuhesabu pamoja na kujua fani mbalimbali za ufundi na ujasiriamali, lakini pia aliwaomba wananchi waachane na dhana potofu kuhusu elimu ya watu wazima na kujitokeza kuwapeleka watoto shuleni.

‘’elimu ya watu wazima na elimu nje ya mfumo rasmi ipo kwajili ya kuwasaidia wale ambao hawakuweza kupata elimu ya msingi na sekondari ili iwasaidie wajue kusoma, kuhesabu na kuandika; licha ya hivyo, elimu hii inatoa ujuzi mbalimbali wa ujasiriamali ambapo wananchi wana haki ya kuipata ’’aliongeza Bw.Mtweve


Kwa upande wake mwakilishi wa wanufaika wa elimu ya watu wazima witness masumbuko alisema, licha ya kujua kusoma na kuandika pia wamepata elimu ya ufundi wa kutengeneza bidhaa mbalimbali ambazo zinawasaidia kujipatia kipato cha kila siku na kuweza kujitegemea kiuchumi tofauti na kipindi ambacho hakuwa na elimu ya watu wazima.

Maadhimisho haya kidunia huadhimishwa kila mwaka kuanzia tarehe 1 mpaka 8 ya mwezi wa tisa.




Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Waziri Mavunde Aaagiza Utekelezaji Wa Miradi Ya Nyuma Ya CSR Geita

    April 15, 2025
  • Mabonanza ya Watumishi Yawe Endelevu - DC Kingalame

    March 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa