• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

”Tujenge Desturi ya kupanda Miti, tunataka Geita irudi kwenye Uasili wake”

Posted on: October 16th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Geita Eng. Robert Gabriel amewataka Viongozi wa Wilaya za Geita kulinda misitu iliyopo kwenye maeneo yao ili kurudisha asili ya Mkoa wa Geita kwenye Ukijani wake.  Ameyasema hayo mapema leo alipokua akihutubia Wajumbe wa Kikao cha Kumi cha Kamati ya Ushauri Mkoa (RCC) kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu ya Mkuu wa Mkoa.

Awali aliwapongeza Halmashauri ya Wilaya ya Geita kwa maamuzi ya Kuhamia kijiji cha Nzera, kata ya Nzera  kuwa Makao makuu ya Halmashauri hiyo kwani kwa kufanya hivyo wanatekeleza agizo la Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kutaka Halmashauri zote nchini zinazokaa nje ya Eneo lao la kazi kuhamia kwenye    Maeneo yao mara moja.

Aidha, Mhe. Mkuu wa Mkoa amewataka pia viongozi wa makundi yote ndani ya Mkoa wa Geita kwa nafasi zao wahakikishe wanatumia siku mbili zilizobaki Kuhamasisha kwa nguvu zote ili wananchi waende kujiandikisha kwenye Orodha ya Wapiga kura kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwenda kuhamasisha zoezi hilo.

Akiwasilisha taarifa ya hali ya Umeme Mkoa wa Geita, Meneja wa Tanesco Mkoa wa Geita Bwana Joachim Ruweta alifafanua kuwa hadi kufikia Disemba 2019 Vijiji vyenye nishati ya Umeme 339 kati ya 474 ambayo ni sawa na asilimia 72 vitapata Umeme na vingine 135 vitapata Umeme kwenye REA awamu ya tatu mzunguko wa pili.

Kuhusu sekta ya madini nao walijipambanua kuwa wameshatoa Leseni za Wachimbaji  wadogo wa madini Mkoani Geita kwa wachimbaji 1408 mpaka sasa.

Daktari wa Mkoa wa Geita Japhet Simeo alielezea Kuimarika kwa hali ya Upatikanaji wa Dawa na VItendanishi kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya Mkoani humo hadi kufikia Asilimia 96 mwezi Disemba 2018 kutoka Asilimia 52 mwaka 2016.

Aidha, DR. Simeo aliwasihi viongozi kufikisha ujumbe kwa wananchi kuwa Kutakua na kampeni ya Chanjo ya Surua Rubela itakayoanza Mkoani hapa tarehe 17 hadi 21 Oktoba na kwamba maandalizi yake yameshakamilika.

Mhandisi Nicas Ligombi, Meneja wa Maji Mkoa alielezea kuwa kutoka Disemba 2018 kuna ongezeko la asilimia Tatu ya Upatikanaji wa Maji Safi na Salama Mkoani humo. Na hali hiyo imeboreshwa kutokana na kukamilika kwa Miradi ya maji vijijini kama vile Chankolongo Wilayani Geita, Mnekezi Chato na Visima virefu 27.

Idara ya Uchumi na Uzalishaji walifafanua kuwa Hali ya Uopatikanaji wa Chakula Mkoani ni Toshelevu na kwamba Mkoa unakadiriwa kuwa na ziada ya chakula cha wanga zaidi ya Tani 267,171. Na kwamba kwa sasa bei ya Mahindi ni kati ya Shilingi 18,000 hadi 20,000 kwa debe.

Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa