• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

UWANJA WA NDEGE WA CHATO KUFUNGUA FURSA NYINGI ZA KIUCHUMI NA KIJAMII MKOANI GEITA

Posted on: November 8th, 2017

Serikali imesema kuwa uwanja wa ndege wa Mkoa wa Geita unaojengwa kijiji cha Nyabilezi Wilayani Chato utakapokamilika utafungua fursa nyingi za kiuchumi na kijamii Mkoani humu.

Akizungumza katika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi katika uwanja ndege wa Mkoa wa Geita Mheshimiwa Prof: Makame Mbarawa (Mb)  Waziri  wa  Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano amesema uwanja huu utarahisisha usafirishaji wa abiria na mizigo kutoka eneo moja kwenda lingine ndani na nje ya nchi. "Tunataka kuona ndege inatoka hapa Geita inasafiri kwenda Songwe, inatoka songwe kwenda Mtwara na kutoka Mtwara hadi Zanzibar."

Amesema uwanja huu pia utafungua fursa za utalii kwakuwa watalii kutoka maeneo mbalimbali watatumia uwanja wa Mkoa wa Geita kuja kuona utalii na pia watu wa Geita watatumia uwanja huu kwenda maeneo mengine kuona shughuli za kitalii.   Hata hivyo, Mheshimiwa Mbarawa alisisitiza kuwa ujenzi wa uwanja wa Mkoa wa Geita unatimiza ndoto ya siku nyingi ya kuwa na kiwanja cha ndege cha kisasa ndani ya Mkoa wa Geita.

Uwanja wa ndege wa Mkoa wa Geita unajengwa kwa kuzingatia viwango vya Shirika la Kimataifa la Usafiri wa anga (IYACO) na utakuwa uwanja wa daraja la 4c ambapo ndege kubwa zenye uwezo wa kubeba abiria kati ya 100-200 zinaweza kutua.

Awali akisoma taarifa ya uanzishwaji wa mradi huu Mhandisi Patrick Mfugale Mtendaji Mkuu wa wakala wa Barabara nchini (TANROADS) alieleza kuwa uwanja huu unatekelezwa chini ya Mkandarasi Mayanga Construction kwa usimamizi wa Wakala wa barabara Nchini kwa gharama ya tshs bilioni 39.15 ukiwa na run way ya kilometa 3.

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa