• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Viongozi Mkoani Geita Wametakiwa kuwa wazi wakati wa kutekeleza miradi ya Maendeleo ya Wananchi Geita

Posted on: January 16th, 2018

Viongozi Mkoani Geita Watakiwa kuzingatia uwazi wanapotekeleza Miradi ya Maendeleo

Mkuu wa mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel Luhumbi amewataka viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Geita kuzingatia uwazi na uadilifu wakati wanapotekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa ajili ya wananchi.

Mhandisi Robert Gabriel ametoa rai akiwa Wilayani Korogwe alipokwenda na timu ya wataalam wa miradi ya maendeleo ya Mkoa wa Geita walipokwenda kujifunza namna Wilaya hiyo ilivyofanikiwa kutekeleza miradi mikubwa na midogo kwa kiwango kidogo cha fedha.

Katika Ziara hiyo Mkuu wa Mkoa ameambatana na Viongozi mbalimbali wakiwemo Wakuu wa Wilaya,Wakurugenzi na Wenyeviti wa Halmashauri lengo likiwa ni kutembelea na kujifunza utekelezaji wa miradi ya elimu, maji, afya na soko la kisasa.

Wakiwa kwenye mradi wa maji Mtonga mheshimiwa Robert Gabriel amewataka Viongozi wenzake watakaporejea katika maeneo yao ya kazi wakati wa utekelezaji wa miradi wahakikishe miradi hiyo inawekwa wazi ili kila mtu ajue mambo yanayoendelea katika miradi hiyo ili kuwa na uwajibikaji na tija katika miradi. " Suala la uwazi ni muhimu sana katika utekelezaji wa Miradi,wataalam wa zamani wanaendelea kutumika basi nasi twende tukawatumie hawa kwa kuwa bado wanaweza kusiadia kutoa mawazo na ujuzi wao".

Mkuu wa mkoa ameongeza kusema kuwa wakati wa uundwaji wa kamati za ujenzi uwanja mpana unatakiwa kuwepo ili kuwezesha wajumbe kupata kamati sahihi.

Mkuu wa Mkoa alisisitiza pia suala la uwekaji wa bendera ya Taifa katika miradi yote ya Serikali inayotekelezwa kwa kuwa utaratibu huo ni kuonyesha uzalendo kwa nchi.

Ujumbe huo umetembelea majengo ya shule ya msingi Kilimani iliyopo kata ya Mtonga ambapo mwenyekiti wa Serikali ya mtaa Twalibu Mtunguja aliwahasa kuwa wavumilivu na kuonyesha ushirikiano wakati wa utekelezaji wa miradi ili kuonyesha mafanikio ya hali ya juu amesema Twalibu.

Kwa upande mwingine Mbunge wa Korogwe Mjini Marry Chatanda amesema kuwa katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kuna haja ya kuonyesha thamani ya miradi na kutambua nguvu za wananchi wanaoshiriki katika ujenzi huo.

Ziara hiyo ya wataalam wa Mkoa wa Geita Wilayani Korogwe imekuja wakati Mkoa wa Geita upo katika kampeni kubwa ya kufanya mageuzi makubwa katika miradi ya elimu, Afya na Maji kwa lengo la kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wa Mkoa wa Geita.

Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Waziri Mavunde Aaagiza Utekelezaji Wa Miradi Ya Nyuma Ya CSR Geita

    April 15, 2025
  • Mabonanza ya Watumishi Yawe Endelevu - DC Kingalame

    March 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa