• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Viongozi Wa Dini Waaswa Kudumisha Amani Kwenye Uchaguzi

Posted on: November 22nd, 2024


Katibu Tawala Mkoa wa Geita Ndugu. Mohamed Gombati amewaasa viongozi wa dini ambao ni wajumbe wa Kamati ya Amani ya Mkoa wa Geita kuhakikisha wanatumia busara na hekima walizojaliwa na Mwenyezi Mungu kuhamasisha Amani, upendo na mshikamano katika kipindi hiki ambapo Kampeni za wagombea wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hapo Novemba 2027 zimeanza.

Katibu Tawala Mkoa wa Geita ametoa kauli hiyo hini karibuni aliposhiriki kikao cha Kamati hiyo kujadili namna ya kutoa elimu kwa jamii juu ya kuwa watulivu, washikamane na kuwa na Amani kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

“Ndugu zangu viongozi wa dini napenda kutumia wasaa huu kuwaeleza kuwa tumieni nguvu zenu kuwashauri viongozi wa vyama vyote vya siasa pamoja na wanachama wao kutumia maneno ya hekima na lugha yenye staha wakati wa kampeni za Uchaguzi zilizoanza tarehe 20 Novemba 2024. Pia kila mmoja azingatie Sheria, Kanuni na taratibu za Uchaguzi ili Uchaguzi utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu uwe wa Amani.” Aliongeza Ndg. Mohamed Gombati.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita ameeleza kuwa Serikali ya Mkoa inaamini zoezi la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa litawaunganisha watu na sio kuleta mipasuko wala chuki baina ya kundi Fulani na kundi jingine. Kadhalika amewashauri viongozi wa dini kuwahamasisha wananchi kutumia fursa zilizopo katika Mkoa kama vile kilimo, ufugaji, uvuvi, uchimbaji madini na biashara ndogo ndogo ili wajikwamue kiuchumi na kupata maendeleo yao binafsi na jamii nzima.

Ndg. Mohamed Gombati pia ametoa rai kwa wakazi wote wa Mkoa wa Geita kujitokeza kwa wingi kupiga kura siku ya tarehe 27 Novemba 2027 katika vituo walivyojiandikishia. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza kuwa siku hiyo itakuwa ni mapumziko ili wananchi wapate nafasi ya kuchagua viongozi watakaowaongoza katika maeneo yao.

Sheikh wa Mkoa wa Geita Sheikh. Yusuph Kabaju amesema kuwa wao kama wajumbe wa Kamati ya Amani ya Mkoa na viongozi wa dini wamejipanga kuzungumza na waumini wao ili kuwajenga weweze kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za mitaa kwa Amani, utulivu na mshikamano mkubwa pasipo kuweka mbele maslahi ya vyama vyao.




Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Waziri Mavunde Aaagiza Utekelezaji Wa Miradi Ya Nyuma Ya CSR Geita

    April 15, 2025
  • Mabonanza ya Watumishi Yawe Endelevu - DC Kingalame

    March 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa