• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wafanyabiashara Wadogo Wahamasishwa Kujisajili

Posted on: May 15th, 2025


Katibu Tawala Mkoa wa Geita Ndg. Mohamed Gombati ametoa wito kwa wafanyabiashara wadogo wote katika Mkoa wa Geita kuhakikisha wanajisajili ili kutambulika na kupata fursa mbalimbali zinazotolewa na Serikali katika kuwainua Zaidi kiuchumi.

Ndg. Mohamed Gombati ametoa wito huo alipokuwa akizungumza na Wataalam kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum waliofika Mkoani Geita kwa lengo la ufuatiliaji wa zoezi la wafanyabiashara wadogo linaloendelea Nchini kote.

Katibu Tawala Mkoa wa Geita ameeleza kuwa katika Mkoa wa Geita jumla ya wafanyabiashara 142 wameshajisajili na  Serikali imeendelea kujenga mazingira wezeshi ya ufanyaji shughuli zao za kibiashara kwa kutoa fursa za mikopo yenye riba nafuu kwa kushirikiana na Taasisi nyingine za kifedha.

“Ushirikiano baina ya Serikali na wafanyabiashara wadogo utaendelea kuimarishwa ili kuweza kupata matokeo ambayo wafanyabiashara na wananchi kwa ujumla wanayategemea.” Aliongeza Ndg. Mohamed Gombati.

Afisa Maendeleo ya Jamii kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Bw. Carlos Gwamagobe amesema kuwa Serikali imetoa Zaidi ya Shilingi Bilioni nane kwa ajili ya kuwakopesha wafanyabiashara wadogo kupitia Benki ya NMB hivyo wafanyabiashara wadogo wanatakiwa wasajiliwe ili kukidhi vigezo vya kupata mkopo wenye riba nafuu.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Wafanyabiashara wadogo Mkoa wa Geita Ndg. Maulid Said ametoa shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali wafanyabiashara wadogo na kuwapatia fursa ya mikopo yenye riba nafuu na kuahidi kuwa atahakikisha zoezi la usajili katika Mkoa wa Geita linafanikiwa kama ilivyolengwa.




Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wafanyabiashara Wadogo Wahamasishwa Kujisajili

    May 15, 2025
  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Waziri Mavunde Aaagiza Utekelezaji Wa Miradi Ya Nyuma Ya CSR Geita

    April 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa