• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WAKUU WA MIKOA, WILAYA NA WAKURUGENZI WATAKIWA KUSIMAMIA FEDHA HALMASHAURI

Posted on: July 10th, 2017

WAKUU WA MIKOA, WAKUU WA WILAYA  NA WAKURUGENZI WATAKIWA KUSIMAMIA MATUMIZI YA FEDHA KATIKA HALMASHAURI

Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi  wametakiwa kusimamia na kufuatilia matumizi ya fedha zinazotolewa na serikali pamoja na wafadhili ili zifanye kazi ya kutekeleza miradi ya maendeleo katika mamlaka za Serikali za mitaa.

Akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Chato katika hafla ya kukabidhi nyumba 50 na kiwanda cha kukamua alizeti Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa katika Halmashauri kumekuwa na upotevu mkubwa na matumizi mabaya ya fedha zinazotolewa na Serikali kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo na huduma mbalimbali kwa wananchi."Bajeti ya dawa imeongezwa kutoka bilioni 31 hadi bilioni 250 natoa wito kwa wakuu wa mikoa,Wakuu wa Wilaya na wakurugenzi kusimamia matumizi ya fedha kwa kuwa katika Halmashauri nyingi fedha zimekuwa zikitumika vibaya hivyo msimamie".Amesema fedha za pembejeo na mfuko wa barabara zimekuwa zikitumika vibaya hivyo viongozi wote wasimamie miradi mbalimbali ya maendeleo.

Aidha, katika mkutano huo Mheshimiwa Rais ameseme kuwa leseni za madini zisitolewe tena kwa wawekezaji mpaka pale serikali itakapojipanga vizuri. Katika hafla hiyo mheshimiwa Benjamini Mkapa amekabidhi nyumba 50 zilizojengwa na Taasisi ya Benjamini Mkapa katika Mikoa ya Geita (20),Kagera910) na Simiyu(20)  kwa gharama ya shilingi bilioni 2.5.

Katika hatua nyingine Balozi wa Japan nchini amekabidhi kiwanda cha kukamua alizeti chenye uwezo wa kukamua lita 700 kwa siku kilichojengwa na Serikali ya Japan Chato mjini.

Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa