• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

“Wananchi Tutumie Fursa ya Mzigo Flexi ya CRDB”. Asema RC Senyamule

Posted on: May 20th, 2022

Mkuu wa mkoa wa Geita mhe.Rosemary Senyamule ametoa wito kwa wananchi wa mkoa wa Geita kuchangamkia fursa iliyotolewa na Benki ya CRDB ambayo itaweza kuwanufaisha kiuchumi kutokana na faida ilizonazo.

Mhe.Senyamule ameyasema hayo Mei 20, 2022 wakati akizindua bidhaa mpya iitwayo Mzigo Flexi ya Benki ya CRDB akiwa tawi la Geita huku akiwapongeza benki hiyo kwa kuwa wabunifu akiwasihi kwenda mtaani kukutana na wananchi na kuwapa elimu juu ya kuweka akiba

“hongereni sana CRDB mmeonesha kujali wananchi na wateja wenu. Elimu hii iwafikie wananchi na wachimbaji kwani Geita watu ni wachapa kazi na fedha wanazo. Hivyo nitoe wito kwa wananchi, changamkieni fursa ya Mzigo Flexi”. Alimaliza mkuu wa mkoa


Akitoa maelezo juu ya huduma hiyo, ndg.Abel Dai ambaye ni Afisa Mikopo wa Benki ya CRDB Geita alisema, bidhaa hiyo ni ofa itakayodumu kwa muda wa miezi miwili tu kuanzia tarehe 17 Mei hadi Julai 17, 2022 yenye faida ya 9% ya uwekezaji ambayo mteja ataweza kuwekeza kuanzia Milioni 1 na kuendelea na atakuwa ana uhuru wa kuchukua faida kwa mwezi, robo mwaka, nusu mwaka, mwaka na muda wa kikomo tofauti na zamani, hivyo kuwahamisha wateja kuchangamkia fursa hiyo.

Akitoa salamu kwaniaba ya Meneja wa CRDB Kanda ya Magharibi ndg. Anslem Mwenda alisema uzinduzi wa bidhaa hiyo ni mkombozi kwa mtanzania kwani mteja atapa faida bila jasho kisha kumalizia kwa kaulimbiu “Ulipo Tupo”

Mfanyabiashara na mwananchi wa Geita ndg. Atanas Ignas naye akatumia fursa hiyo kutoa ushuhuda wa uwekezaji kwenye Benki ya CRDB kwa wateja na wananchi wa Geita akiwasihi kuitumia fursa kwani wao kama wafanya biashara ina manufaa kwao na kwamba CRDB imewatengenezea mazingira mazuri kuwekeza bila jasho.

Geita ya Dhahabu, Utajiri na Heshima. Kazi Iendeleee


Imeandaliwa na:

Boazi Mazigo

Ag.HGCU

Geita RS



Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Wapatieni Wananchi Taarifa Sahihi za Miradi ya Maendeleo- Msigwa

    May 26, 2025
  • Mkoa wa Geita Kinara Utekelezaji wa Miradi ya TASAF

    May 27, 2025
  • Serikali Inathamini Vyama vya Ushirika- RC Shigela

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa