• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wanawake na Samia Geita Wapatiwa Milioni 50

Posted on: October 22nd, 2024


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi cha shilingi Milioni 50 kwa Taasisi ya Wanawake na Samia wa Mkoa wa Geita kwa ajili ya kuongeza mtaji wa zabuni ya kuwalisha watumishi Zaidi ya mia moja kwa siku wa Shirika la Madini la Taifa( STAMICO) ambao wanafanya kazi ndani ya mgodi wa GGM.

Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kutembelea banda la wanawake na Samia wakati wa hafla ya ufungaji wa Maonesho ya saba ya Teknolojia ya Madini Geita kwa lengo la kukagua shughuli mbalimbali zinazofanywa na Taasisi hiyo na kuguswa na kazi wanazozifanya ikiwemo zabuni ya utoaji chakula na kuvutiwa na jitihada zinazofanywa na wanawake hao.

Akiwakabidhi risiti ya fedha hizo tarehe 21/10/2024 Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Martine Shigela amewaasa wanawake hao kutumia fedha hizo kwa malengo yaliyokusudiwa ili kukuza mtaji na kupanua wigo wa kutoa huduma ya chakula katika makampuni mengine na kuwa chachu ya kupiga hatua Zaidi na kuwainua kiuchumi.

“Fedha mliyopewa siyo ya kwenda kugawana posho wala nauli bali iwasaidie kuinua mtaji utakaotengeneza faida ambayo itawezesha Taasisi ya Wanawake na Samia kuimarika Zaidi kimkoa na hata kitaifa.” Aliongeza Mkuu wa Mkoa wa Geita.

Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Samia Ndg. Adelina Lambert Kabakama ametoa shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwaongezea mtaji utakaowainua Zaidi na kuwafanya wasikope kwenye taasisi nyingine za kifedha.

Ndg. Adelina Kabakama kadhalika amemshukuru Mkuu wa Mkoa wa Geita pamoja na ofisi yake kwa kuwa nao bega kwa bega siku zote katika kuwashauri na kuwaongoza. Pia amewahamasisha wanawake na Samia katika wilaya zote za Mkoa wa Geita kubuni biashara za aina mbalimbali katika maeneo yao.

Taasisi ya Wanawake na Samia pia ni mabalozi wa matumizi ya nishati safi ya mkaa mbadala wa Rafiki Briquettes unaozalishwa na STAMICO.

Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wafanyabiashara Wadogo Wahamasishwa Kujisajili

    May 15, 2025
  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Waziri Mavunde Aaagiza Utekelezaji Wa Miradi Ya Nyuma Ya CSR Geita

    April 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa