• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Geita Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Maji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • TEHAMA
      • Mkanguzi Wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Geita
    • Bukombe
    • Chato
    • Mbogwe
    • Nyang'hwale
  • Halmashauri
    • Halamashauri ya Wilaya Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
    • Halmashauri ya Mji Geita
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Hifadhi ya Taifa ya Rubondo
    • Uchimbaji wa Madini
    • Ufugaji
    • Ufugaji wa Nyuki
    • Kilimo
    • Maeneo ya Viwanda
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma Ufugaji
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Watumishi Geita RS Wampokea RAS Gombati. Asisitiza, Uadilifu,Ubunifu na Ushirikiano.

Posted on: October 2nd, 2023

Na Boazi Mazigo - Geita RS

Ikiwa ni siku ya tatu tangu kuwasili mkoani hapa, Katibu Tawala Mkoa Geita Bw.Mohamed Jumanne Gombati amelakiwa na watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kisha kuzungumza nao ikiwa ni mara yake ya kwanza kuonana nao tangu ateuliwe na kuripoti katika kituo chake cha kazi.

Mapokezi hayo ya RAS Gombati yamefanyika Oktoba 2, 2023 katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita-Magogo ambapo watumishi wa umma wamehimizwa kuwa wabunifu, wachapa kazi, wenye ushirikiano lakini bila kusahau uadilifu.

“niwashukuru kwa mapokezi lakini nisisitize juu ya uwajibikaji, uadilifu na niombe ushirikiano wenu ili kutekeleza majukumu vizuri. Dira yetu ni kuwa sekretarieti ya mfano katika utoaji wa huduma, na hiyo tutaifanikisha ikiwa tutafanya kazi kwa bidii na kuwa wabunifu”. Alisema RAS Gombati.

Aliongeza kuwa, ni muhimu kuzingatia thamani ya miradi, lakini pia amesisitiza juu ya kufanya kazi kwa haraka lakini kwa usahihi na kwamba si vyema kwa watumishi kuchukua mda mrefu kushughulikia mafaili.

Na mwisho, RAS Gombati amewataka watumishi kuhakikisha wanashughulikia hoja kabla ya kusubiri taarifa ya CAG akiamini uwezo huo upo  na kuwasihi watumishi kuwashauri viongozi kwa usahihi.

Ikumbukwe kuwa, Bw. Mohamed Gombati alikabidhiwa ofisi rasmi Septemba 30, 2023 na Prof.Godius Kahyarara ambaye kwa sasa ni Katibu Mkuu wizara ya Uchukuzi.

Geita ya Samia, Hakuna Kilichosimama.




Matangazo

  • KANUNI MPYA ZA CSR ZA 2023 August 12, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Wafanyakazi Geita Wapewa Rai Kuboresha Taarifa Zao

    May 02, 2025
  • Waziri Mavunde Aaagiza Utekelezaji Wa Miradi Ya Nyuma Ya CSR Geita

    April 15, 2025
  • Mabonanza ya Watumishi Yawe Endelevu - DC Kingalame

    March 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

Sekta ya Elimu Yazidi Kuimarika Geita
Video Zaidi

Muunganiko wa Haraka

  • Halmashauri ya Wilaya Bukombe
  • Halmashauri ya Mji Geita
  • Halmashauri ya Wilaya Geita
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe
  • Halmashauri ya Wilaya ya Chato
  • Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale
  • E-VIBALI

Tovuti Zinazohusiana

  • IKULU
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • NACTE
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter Widgets

Ramani ya Maeneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita

    Sanduku la Barua: S.L.P 315

    Simu: 028 2520035

    Mobile: 028 2520035

    barua pepe: ras.geita@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki©2017Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. Haki zote zimehifadhiwa