Posted on: October 23rd, 2023
Na Abraham Mwasimali –RS Geita
Wakuu wa wilaya pamoja na wakurugenzi wa halmashauri zote katika mkoa wa Geita wameagizwa kufanya msako wa watu ambao ni chanzo cha wanafunzi kukatisha masomo yao...
Posted on: October 20th, 2023
Na Boazi Mazigo – Geita RS
Viongozi ngazi za wilaya wameendelea kusisitizwa kuwamasasisha wananchi mkoani hapa kujihadhari na majanga yanayoweza kujitokeza kutokana na mvua zinazoendelea kunyes...
Posted on: October 19th, 2023
Na Boazi Mazigo – Geita RS
Ikiwa ni mwezi ambao ndani yake ni maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike duniani, mwanafunzi wa kidato cha tatu kutoka shule ya Sekondari Nyanza iliyopo halmasha...